Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam (2500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
2500 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI KIBADA
✨ Nyumba nzuri sana ya kisasa yenye hadhi ya juu inapatikana Kigamboni Kibada.
🔹 Vyumba 6
🔹 Vyumba 4 Master
🔹 Sebule kubwa
🔹 Dining
🔹 Jiko la kisasa
🔹 Mfumo wa “Golf” na mazingira mazuri sana
🔹 Eneo SQM 2,500
🔹 Umbali wa mita 200 tu kutoka barabara kuu ya lami
💼 Inafaa kwa:
✔️ Wawekezaji wa Airbnb/BNB
✔️ Hotel & Lodge
✔️ Makazi ya kifahari
📄 Hati Miliki Kamili
💰 Bei: Bilioni 1.2 (Maongezi yapo)
📞 0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingaudio















