Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
6
Barabara ya Karibu
500m
Maelezo
π‘ NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA β KIGAMBONI KISOTA (USHUWANI) β
π Location: Kigamboni Kisota, mtaa mzuri sana
πΆββοΈ Mwendo wa mita 500 kutoka barabara ya zamani
πΉ Maelezo ya Nyumba:
βοΈ Nyumba ya ghorofa
βοΈ Vyumba 6 vya kulala
βοΈ Vyumba 4 master (vina choo ndani)
βοΈ Sebule
βοΈ Dining
βοΈ Jiko
βοΈ Nyumba mpya (brand new)
βοΈ Aluminium
βοΈ Tiles
βοΈ Imezungushiwa fence
βοΈ Imejengwa kwa standard ya hali ya juu
πΈ Hali ya Nyumba:
Nyumba haijamaliziwa finishing ndogo, lakini ukilipa au ukimaliza makubaliano ya kibiashara, unakabidhiwa nyumba yako ikiwa imekamilika kabisa kwa makaratasi.
π° Bei: TZS 500,000,000
π€ Majadiliano yapo (msiri)
π Service charge: TZS 30,000
π Call/WhatsApp: +255614130017
#dalali #dalalikigamboni #dalaliviwanja #plotsforsale #kigambonikissota nyumbainauzwa realestatetanzania chatgpthousesforrent googlebesthouseforren















