Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kigamboni Kisota Ushuani, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI KISOTA USHUANI ๐ก
Nyumba nzuri ya kisasa yenye mfumo wa apartmenti mbili inauzwa kwa bei nafuu sana.
๐น Apartment ya chini:
โ
Vyumba 3
โ
Sebule
โ
Dining
โ
Jiko
๐น Apartment ya juu:
โ
Vyumba 3
โ
Sebule
โ
Dining
โ
Jiko
๐ Ukubwa wa eneo:
SQM 600+
๐ Hati:
โ
Hati kamili ya Wizara
โจ Sifa za nyumba:
โ๏ธ Nyumba ya kisasa (full finishing)
โ๏ธ Kisima cha maji
โ๏ธ Fence ya ulinzi
โ๏ธ Kamera za usalama
๐ผ Inafaa sana kwa uwekezaji:
โ๏ธ Ukipangisha kawaida unaweza kupata zaidi ya Milioni 1 kwa mwezi kwa kila apartment
โ๏ธ Pia unaweza kuendesha Airbnb ambapo unaweza kuingiza hadi Dollar 150 kwa siku kwa kila apartment
๐ Location:
๐ Kigamboni โ Kisota Ushuani
โ๏ธ Kilometa 1 kutoka barabara ya lami
โ๏ธ Kilometa 5 kutoka Ferry
โ๏ธ Kilometa 2.5 kutoka Daraja la Nyerere
๐ฐ Bei:
Milioni 400
(Maongezi yapo)
๐0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzania๐น๐ฟ #realestateforsale #trendingnow















