Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mbagala-Chamazzi, Dar Es Salaam (600 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MPYA,VYUMBA 6,TZS.230 MILIONI,MBAGALA-CHAMAZI.
Hapa ni KWA-MKONGO.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.600.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 6 ( Kila chumba na Choo chake ndani)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ni ya kisasa,imekamilika na YAKUHAMIA.
Ipo jirani na Barabara ya Lami pia ina:
●Kisima cha Maji
●Security Fensi.
●Parking yakutosha
●Servant's Quarter ya Kigorofa.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
__________________rmc















