Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mbezi Beach Masana, Dar Es Salaam (350 sqm)









Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
350 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA
Dar es salaam ,Tanzania
INA VYUMBA 6
VIWILI NI SELF CONTAINED
VINNE VYAKAWAIDA VYUMBA VYOTE VINAWAPANGAJI
IPO mbezibeach masana njia ya goba ni kituo cha pili toka masana hospital ni dk 2 toka lami
BEI MILIONI 65 MAONGEZI YAPO
UKUBWA 350 SQM
UMILIKI:MAUZIANO YA SERIKALI YA MTAA
PIGA SIMU
O719969102
.















