Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mbezi-Kibanda cha Mkaa, Dar Es Salaam (2200 sqm)

video thumbnail
Sh. 120,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

6

Bafu

4

Ukubwa

2200 SQM

Barabara ya Karibu

400m β€” Morogoro Road

Huduma na Sifa

Hati
Sebule
Jiko
Dining
Karibu na Barabara
Public Toilet

Maelezo

NYUMBA YENYE HATI INAUZWA NA BANK,TSHS.120 MILIONI,MBEZI-KIBANDA CHA MKAA.

Ni umbalivwa mita 400 tu kutoka Barabara ya Morogoro.

Hii nyumba Ina Pande mbili zinazojitegemea.
Kila upande vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room na Choo cha Familia ndani.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 2,200.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

Eneo ni kubwa unaweza kujenga zaidi.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________mpg