Tafuta
-
-

Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Sinza (Kwa Remmy), Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 400,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

6

Barabara ya Karibu

30m

Huduma na Sifa

Hati
Parking Space
Maji
Tiles
Feni
Chumba cha Msaidizi

Maelezo

🔥 HAINA UDALALI – UNAKUTANA MOJA KWA MOJA NA MUUZAJI! 🔥

🏡 NYUMBA KUBWA YA VYUMBA 6 INAUZWA – SINZA (KWA REMMY), DAR ES SALAAM

Unatafuta nyumba ya kifahari katikati ya jiji? Hii ni fursa adimu sana kupata nyumba kubwa kwenye eneo la prime location Sinza – inafaa kwa kuishi au kuingiza kipato kupitia upangishaji!

✨ SIFA ZA NYUMBA:
✔️ Vyumba 6 vya kulala (Master 1 kubwa)
✔️ Sebule kubwa + Dining
✔️ Jiko la kisasa
✔️ Servant Quarter (SQ)
✔️ Parking ya kutosha
✔️ Madirisha ya Aluminium
✔️ Eneo limepaving vizuri
✔️ Maji ya DAWASA yapo
✔️ Hati safi kabisa

📍 LOCATION:
• Hatua 30 tu kutoka barabara ya lami
• Dakika 20 tu kufika mjini
• Eneo tulivu, salama na la kisasa

💼 INAFAA KWA:
✔️ Makazi ya familia kubwa
✔️ Uwekezaji (Guest house / Kupangisha vyumba)

💰 BEI: MILIONI 400 TU (MAONGEZI YAPO)

📞 Usisite! Njoo uone – ukichelewa utajuta!

⚠️ WATEJA SERIOUS TU 0683 665504