Nyumba ya vyumba 7 inauzwa Mbezi Magufuli, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏠🔥 ENEO LENYE NYUMBA MBILI LINAUZWA – MBEZI MAGUFULI 📍
✨ KARIBU SANA NA STENDI
💰 BEI: MILLION 95 TU 📌
🤝 MAONGEZI YAPO
😮💨 Hii sio deal ya kawaida boss…
Hii ni opportunity ya mtu mwenye akili ya kuona pesa kabla wengine hawajaona 💸🔥
📍 LOCATION: MBEZI MAGUFULI
📐 UKUBWA WA ENEO: SQM 400
🏡 Ndani ya eneo kuna nyumba MBILI:
🏠 Nyumba ya kwanza:
✔️ Vyumba 4
✔️ Ukumbi mkubwa
🏠 Nyumba ya pili:
✔️ Vyumba 3
✔️ Vyumba 2 ni MASTER 😮💨🔥
📍 Eneo ni zuri sana kwa:
✔️ Makazi ya familia
✔️ Rental business
✔️ Apartment za baadae
✔️ Air B&B
✔️ Uwekezaji wa muda mrefu
🚗 Karibu sana na stendi
Movement ya usafiri ipo vizuri muda wote
🔥 Hii ni aina ya mali ambayo unaweza kuishi wewe mwenyewe
Na wakati huo huo ikakutengenezea pesa 😮💨💰
📈 MBEZI MAGUFULI kwa sasa ni moja ya maeneo yanayokua kwa kasi sana
Na thamani ya ardhi inapanda kila siku
⚠️ Mali za aina hii kwa bei kama hii hazikai muda mrefu sokoni
Ukichelewa kidogo tu… unakuta imeenda 🏃♂️🔥
📌 SERVICE CHARGE: 50K
#0742260844_0657384670















