Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Dar Es Salaam (2500 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA — INAFAA KWA FAMILIA YAKO!
Unatafuta nyumba kubwa, ya kisasa na yenye nafasi ya kutosha kwa familia yako? Hii ni fursa ya kipekee!
Kiwanja: SQM 2,500
Nyumba Kuu: Vyumba 5 — vyote Master Bedroom
Sebule kubwa
Dining kubwa
Jiko kubwa na lenye nafasi ya kutosha
Nyumba ya Pembeni:
Vyumba 3
JUMLA: VYUMBA 8
Swimming Pool
Uwanja wa Basketball
Eneo kubwa na mazingira yanayofaa kwa familia na mapumziko.
BEI: TSH BILIONI 1.8
Nyumba hii ni zaidi ya makazi — ni lifestyle ya kifahari kwa familia yako.
Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, wasiliana nasi.
SITE VISIT 50,000
Contact
O677370515 whatsapp
O688991244 normal call















