Tafuta

Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Mabibo, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 85,000,000

Maelezo

NYUMBA YA VYUMBA 8/ KIWANJA ,TZS.85 MILIONI,MABIBO N.I.T.

Ķwa sasa inatumika kama Hosteli ya Wanafunzi.

Ina Wapangaji kote.
Unaweza kuendelea kuokota Kodi,
Au kuiboresha ili kuokota Kodi zaidi.
Ama tena KUIREKEBISHA IWE YA-KISASA,
Yaani nyumba ya Familia moja.
Au APARTMENTS, napo utaingiza kipato zaidi.

WAHI.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________ryt