Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Mbweni, Dar Es Salaam (900 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
8
Ukubwa
900 SQM
Barabara ya Karibu
4m โ Bagamoyo Road
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA INAUZWA โ MBWENI, DAR ES SALAAM
Nyumba hii ipo kwenye barabara kuu inayoelekea Mbweni, ikiwa ni dakika 4 tu kwa miguu kutoka Bagamoyo Road โ eneo zuri kwa makazi na biashara kwa pamoja.
โจ Sifa za Nyumba:
* Ukubwa wa eneo: SQM 900
* Vyumba vya kulala: 8
* Sitting Rooms: 3
* Dining Room: 1
* Jiko pamoja na store 2
* Frame 7 za maduka
* Mini Supermarket tayari ipo
๐ Eneo linafikika kirahisi na lina potential kubwa ya biashara kutokana na location yake.
๐ฐ Bei: TZS 380,000,000 (380M)
๐ Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au kupanga kuangalia nyumba. 0787705274















