Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Mbweni, Dar Es Salaam (900 sqm)



Aina
Nyumba
Vyumba
8
Ukubwa
900 SQM
Barabara ya Karibu
4m — Bagamoyo Road
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA INAUZWA – MBWENI, DAR ES SALAAM Nyumba hii ipo kwenye barabara kuu inayoelekea Mbweni, ikiwa ni dakika 4 tu kwa miguu kutoka Bagamoyo Road – eneo zuri kwa makazi na biashara kwa pamoja. ✨ Sifa za Nyumba: * Ukubwa wa eneo: SQM 900 * Vyumba vya kulala: 8 * Sitting Rooms: 3 * Dining Room: 1 * Jiko pamoja na store 2 * Frame 7 za maduka * Mini Supermarket tayari ipo 📍 Eneo linafikika kirahisi na lina potential kubwa ya biashara kutokana na location yake. 💰 Bei: TZS 380,000,000 (380M) 📞 Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi au kupanga kuangalia nyumba. 0787705274















