Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Salasala, Dar Es Salaam (2500 sqm)









Huduma na Sifa
Maelezo
#NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA ā INAFAA KWA FAMILIA YAKO! āØš”
Unatafuta nyumba kubwa, ya kisasa na yenye nafasi ya kutosha kwa familia yako? Hii ni fursa ya kipekee! š„
š Kiwanja: SQM 2,500
š Nyumba Kuu: Vyumba 5 ā vyote Master Bedroom šļøāØ
šļø Sebule kubwa
š½ļø Dining kubwa
š³ Jiko kubwa na lenye nafasi ya kutosha
š Nyumba ya Pembeni:
šļø Vyumba 3
š„ JUMLA: VYUMBA 8
Na bado kuna zaidi! š
šāāļø Swimming Pool
š Uwanja wa Basketball
š³ Eneo kubwa na mazingira yanayofaa kwa familia na mapumziko.
š° BEI: TSH BILIONI 1.8
⨠Nyumba hii ni zaidi ya makazi ā ni lifestyle ya kifahari kwa familia yako.
š Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, wasiliana nasi.
SITE VISIT 50,000
Contact
Call/whatsp















