Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Tandale, Dar Es Salaam

Tandale, Dar Es Salaam
11 hours ago
Sh. 120,000,000
Maelezo
Nyumba inauzwa
Location Tandale iko ktk mtaa mzur
ni corner plot
nyumba hii ina vyumba 8 kila chumba bei elfu 70k
nyumba inauzwa na mwenyewe
bei M.120k maongezi
ina leseni ya mauziano ya serikali za mitaa /unaweza kununua ukaifanyia NOVERTION ikawa chumba sebule jiko choo 350k au master jiko za laki 250k Kubwa



