Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Tabata, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Maelezo
π₯ NYUMBA MZURI SANA INAPANGA β TABATA SEGEREA MWISHO! π₯
Stand Alone Kali Sana β Inafaa kabisa kwa familia au wanaopenda maisha ya starehe! π
β
Vyumba 4 vya kulala (master)
β
Sebule kubwa + Dining
β
Jiko la kisasa lenye makabati marefu
β
Store + Chumba cha kufulia
β
Electric fence + Maji ya bomba 24/7
β
Panafikika kirahisi, karibu na barabara kuu
Kodi: Tsh 1.8M (inapatikana maongezi kidogo)
Malipo: Miezi 6 mbele
Udalali: Sawa na kodi ya mwezi 1
Kupelekwa: 20,000 tu
Hii ni nyumba ya maana kabisa, wanaopenda vitu safi na vizuri waje haraka before inachukuliwa! π
π Piga sasa: 0688 412 890
(Muhitaji tu ndo anapiga, usipoteze nafasi!) π















