Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Buyuni, Chanika, Dar Es Salaam

Sh. 72,000,000

Maelezo

NYUMBA YENYE HATI INAUZWA NA BANK,TZS.72 MILIONI, BUYUNI-CHANIKA/ILALA.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 610.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

Hapa ni TALIANI/NSSF.
Wastani wa kilomita 1 tu kutoka Barabara ya Lami.

Vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.



________________jj

Matangazo mengine Buyuni, Dar Es Salaam

Viwanja vinauzwa Buyuni, Dar Es Salaam

Sh. 4,190,000

For SaleInstallment
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Chanika Buyuni, Dar Es Salaam

Sh. 46,000,000

For Sale4 beds800 sqmhasTitleDeed
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Chanika Buyuni, Dar Es Salaam

Sh. 46,000,000

For Sale4 beds800 sqmhasTitleDeed
General BROKER (*DALALI*)