Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Buyuni, Chanika, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
3
Ukubwa
610 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
NYUMBA YENYE HATI INAUZWA NA BANK,TZS.72 MILIONI, BUYUNI-CHANIKA/ILALA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 610.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Hapa ni TALIANI/NSSF.
Wastani wa kilomita 1 tu kutoka Barabara ya Lami.
Vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________jj











