Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Chanika Zingiziwa, Dar Es Salaam (600 sqm)







Chanika, Ilala, Dar Es Salaam
6 hours ago
Sh. 55,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
1
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Hati
Tiles
Dining
Jiko
Stoo
Public Toilet
Maelezo
Nyumba Inauzwa – TZS Milioni 55
Ipo Chanika Zingiziwa, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.
Ukubwa wa Kiwanja: Meta za mraba 600, kikiwa na Hati Miliki
Sifa za Nyumba:
Vyumba viine, viwili Master , vingine kawaida
Sebule kubwa
Dining Room
Jiko
Stoo
Public Toilet
