Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Chanika Zingiziwa, Dar Es Salaam (600 sqm)

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 55,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Bafu

1

Ukubwa

600 SQM

Huduma na Sifa

Hati
Tiles
Dining
Jiko
Stoo
Public Toilet

Maelezo

Nyumba Inauzwa – TZS Milioni 55

Ipo Chanika Zingiziwa, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.

Ukubwa wa Kiwanja: Meta za mraba 600, kikiwa na Hati Miliki

Sifa za Nyumba:

Vyumba viine, viwili Master , vingine kawaida

Sebule kubwa

Dining Room

Jiko

Stoo

Public Toilet