Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ LUXURY HOUSE FOR SALE – GOBA CENTER ✨🏡
💰 Bei: TSH 1.23 Billion
Karibu uione nyumba ya kisasa yenye hadhi ya juu, comfort ya kipekee na mazingira tulivu kabisa kwa familia ya kisasa 👌
✅ Ina:
🛏 Vyumba 4 vya kulala – vyote Master
📚 Study Room
🏋️ Gym ya kisasa
🏊 Swimming Pool
🌴 Garden kubwa na nzuri
🍽 Dining area ya kisasa
🛋 Sebule kubwa yenye mwanga wa kutosha
👨🍳 Jiko la kisasa lenye makabati mazuri
🚿 Public toilet
🚗 Parking kubwa
🧺 Laundry area
❄️ Gypsum & modern finishing
🔐 Fence kali na geti la kisasa
💧 Maji na umeme wa uhakika
📍 Location nzuri sana – Goba Center
👉 Nyumba imejengwa kwa viwango vya juu sana, inafaa kwa makazi ya kifahari au uwekezaji.
📞 Wasiliana nasi: 0678512666
🔥 Luxury • Comfort • Class • Security — Vyote sehemu moja!















