Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Maelezo

GHOROFA YAKUMALIZIA,INAUZA BANK,TSHS.300 MILIONI, GOBA.

Hapa ni KULANGWA-GOBA/MADALE Road.
Mita 309 tu kutoka Barabara ya Lami.
Mtaa uliojengeka Vizuri mno.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,000.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

Vyumba 4 (Masta 1)
Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani

______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________jj