Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Maelezo

NYUMBA YENYE VYUMBA 4,TSHS.160 MILIINI, GOBA-KWAROBERT.

Hii nyumba ipo umbali wa kilomita 2 tu kutoka Barabara ya Lami ya Goba/Mbezi.
Mtaa umejengeka vizuri na kuna utulivu.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 900.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia.

___________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
___________________mpg