Nyumba ya vyumba vinne inauzwa GOBA NJIA NNE. MAGETI, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Ndugu mteja wetu, hii nyumba isikupite. Twanga simu moja uiwahi..
Nyumba ipo GOBA NJIA NNE. MAGETI.
▪︎ Nijirani na lami kwa mita 400 tu (dakika 4 kwa mguu)
▪︎ Nyumba inafikika vizuri sana.
Ina vyumba vinne, vyote ni masta
Uwanja ni SQM 500
FULL DOCUMENTS ✅️
BEI: TZS 360 Million ( Negotiable)
▪︎ Malipo kwa awamu ( Negotiable)
Piga: 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency #wekezagoba2026 #wekezanasi2026















