Nyumba ya vyumba vinne inauzwa GOBA NJIA NNE. MAGETI, Dar Es Salaam (500 sqm)

Goba, Ubungo, Dar Es Salaam
3 days ago
Sh. 360,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Maelezo
Ndugu mteja wetu, hii nyumba isikupite. Twanga simu moja uiwahi..
Nyumba ipo GOBA NJIA NNE. MAGETI.
▪︎ Nijirani na lami kwa mita 400 tu (dakika 4 kwa mguu)
▪︎ Nyumba inafikika vizuri sana.
Ina vyumba vinne, vyote ni masta
Uwanja ni SQM 500
FULL DOCUMENTS ✅️
BEI: TZS 360 Million ( Negotiable)
▪︎ Malipo kwa awamu ( Negotiable)
Piga: 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency #wekezagoba2026 #wekezanasi2026
