Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Ilazo, Dodoma (800 sqm)
Ilazo, Dodoma
10 hours ago
Sh. 225,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NAUZA NYUMBA YA GOROFA – ILAZO, DODOMA 🔥
📍 Mahali: Ilazo
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
📜 Hati: Hati safi
🏠 Chini:
Chumba kimoja
• Chumba kikubwa ni Self-contained
• Sebule kubwa
• Parking ya magari madogo 2
🏠 Juu:
• Vyumba 3
• Chumba 1 ni Suite kubwa
• Vyumba 2 ni Master
💰 BEI: MILIONI 225
🤝 Maongezi yapo kwa mnunuzi serious!
📞 Wasiliana:















