Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1225 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏤NYUMBA YA KISASA INAUZWA
- KIGAMBONI, KIBADA
Mahali: Kibada - Kigamboni
Ukubwa wa eneo: Square Meter 1,225
🧾Hati: Hati ya Wizara (clean & ready transfer)
Sifa za Nyumba Kuu:
Vyumba 4 vya kulala (vyote self contained)
Sebule kubwa na yenye mwanga wa kutosha
Dining area
Jiko la kisasa lenye makabati
Public toilet
Nyongeza (Servant Quarter):
Vyumba 2
Public toilet
Chumba cha kufulia (Laundry)
Eneo ni tulivu, salama na linafikika kwa urahisi - linafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa thamani.
💰Bei: Milioni 500 TZS (maongezi ......yapo
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba ya ndoto zako Kigamboni!
TUPIGIE ☎️ ☎️ ☎️ 0753999903
#dalali















