Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1225 sqm)

Maelezo
🏤NYUMBA YA KISASA INAUZWA - KIGAMBONI, KIBADA Mahali: Kibada - Kigamboni Ukubwa wa eneo: Square Meter 1,225 🧾Hati: Hati ya Wizara (clean & ready transfer) Sifa za Nyumba Kuu: Vyumba 4 vya kulala (vyote self contained) Sebule kubwa na yenye mwanga wa kutosha Dining area Jiko la kisasa lenye makabati Public toilet Nyongeza (Servant Quarter): Vyumba 2 Public toilet Chumba cha kufulia (Laundry) Eneo ni tulivu, salama na linafikika kwa urahisi - linafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji wa thamani. 💰Bei: Milioni 500 TZS (maongezi ......yapo Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba ya ndoto zako Kigamboni! TUPIGIE ☎️ ☎️ ☎️ 0753999903 #dalali















