Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
4
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Maelezo
🏡 GHOROFA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA KISARAWE ll
Fursa ya kipekee ya kumiliki ghorofa ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu, iliyopo katika mazingira tulivu na salama ya Kigamboni – Kibada Extra Two.
Sifa za Nyumba
✅ Vyumba 4, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko la kisasa
✅ Swimming Pool
✅ Servant Quarter
✅ Chumba cha kupumzikia (Family Lounge)
✅ Electric Fence
✅ CCTV Camera
✅ Eneo la kisasa na salama
Taarifa za Kiwanja
📐 Ukubwa wa eneo: SQM 600
📄 Limepimwa na lina hati ya serikali
Mahali
📍 Mita 300 kutoka barabara ya lami
📍 Kilomita 10 kutoka Ferry
📍 Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
Bei
💰 TZS Milioni 800 (Mazungumzo yapo)
📞 0769554221
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















