Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 800,000,000

Maelezo

🏡 GHOROFA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA KISARAWE ll

Fursa ya kipekee ya kumiliki ghorofa ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu, iliyopo katika mazingira tulivu na salama ya Kigamboni – Kibada Extra Two.

Sifa za Nyumba

✅ Vyumba 4, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Jiko la kisasa
✅ Swimming Pool
✅ Servant Quarter
✅ Chumba cha kupumzikia (Family Lounge)
✅ Electric Fence
✅ CCTV Camera
✅ Eneo la kisasa na salama

Taarifa za Kiwanja

📐 Ukubwa wa eneo: SQM 600
📄 Limepimwa na lina hati ya serikali

Mahali

📍 Mita 300 kutoka barabara ya lami
📍 Kilomita 10 kutoka Ferry
📍 Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere

Bei

💰 TZS Milioni 800 (Mazungumzo yapo)

📞 0769554221
📍Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1300 sqm)

Sh. 500,000,000

For Sale4 beds1,300 sqmhouse