Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibaha kwa Mfipa, Pwani (400 sqm)

Kibaha, Kibaha CBD, Pwani
23 days ago
Sh. 9,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Public Toilet
Tiles
Uzio
Karibu na Barabara ya Lami
Sebule kubwa
Jiko kubwa
Maelezo
BOMA ZURI SANA LA VYUMBA VINNE LINAUZWA KIBAHA KWA MFIPA TSH MILIONI 9 TU.
==========
๐ปLina vyumba vinne vya kulala
๐ปSebule kubwa
๐ปJiko kubwa
๐ป Public toilet
__________________
โ๏ธ Boda buku tu hadi mlangoni
โ๏ธ Ipo kwenye barabara ya mtaa
โ๏ธ Ina ukuta upande mmoja
๐ Kiwanja chake kina 20*20 (sqmt 400)
_____________________
๐ฐ BEI MILIONI 9 tu.
==========
โ๏ธ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994
