Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kifuru Hali Ya Hewa, Dar Es Salaam (600 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨ NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA KIFURU HALI YA HEWA DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 ✨🏡
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! 👇
Nyumba ina Vyumba 4 Vya Kulala
📍2 Master bedrooms
📍Sebule kubwa
📍Dinning room
📍Jiko safi
📍Stoo
📍Public toilets 1
📍Room play
📍Maji ya dawasa
📍frem nje ya Biashara
📍Peving block
📍fenced
📍Location: KIFURU HALI YA HEWA
📐 Sqm 600
✅Unaweza kuishi mwenyewe au ukaifanya biashara panalipa sana location yake
✅Neighborhood nzuri sana
💰 BEI NI 125 million Tu (Maongezi yapo🫱🏾🫲🏻)
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! 🔥
NIPIGIE CM CHAP















