Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Gezaulole, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
800 SQM
Barabara ya Karibu
600m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏝️ BEACH HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI GEZAULOLE
Unatafuta nyumba ya ndoto karibu na bahari? Hii hapa fursa adimu!
📍 Ipo Kigamboni Gezaulole
📏 Mita 200 kutoka ufukweni
🛣️ Mita 600 kutoka barabara kuu ya lami
📐 Ukubwa wa eneo: SQM 800
Sifa za Nyumba:
* Vyumba 4 (3 Master)
* Sebule kubwa na sehemu ya dining
* Jiko la kisasa
* Swimming pool 🏊♂️
* Full AC nyumba nzima
* Generator ya umeme ⚡
📄 Hati: Hati halali ya Wizara (Title Deed)
💰 Bei: Milioni 450 (mazungumzo yapo)
Karibu sana kuona hii nyumba ya kifahari iliyo karibu na bahari – inafaa kwa makazi au uwekezaji!
📞0769-554-221
#trending #house #istagram #tanzania #realestatesales
📍Viwanja kigamboni
📍Nyumba kigamboni
✅Beach house kigamboni
📍Dalali online mbavu















