Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kibada Chekechea, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
GOROFA LA KISASA LINAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa katika eneo tulivu na lenye maendeleo ya kasi Kigamboni Kibada Chekechea. Sifa za nyumba: • Vyumba 4 (vitatu ni master) • Eneo la kiwanja: SQM 700 • Umbali: Takribani kilomita 1 kutoka barabara kuu • Mazingira mazuri na salama kwa makazi ya familia Bei: Tsh Milioni 470 (mazungumzo yapo) Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji. Wahi sasa! 📞0769-554-221 #trendingreelsvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingsongs















