Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kibada Chekechea, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
GOROFA LA KISASA LINAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA CHEKECHEA
Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa katika eneo tulivu na lenye maendeleo ya kasi Kigamboni Kibada Chekechea.
Sifa za nyumba:
• Vyumba 4 (vitatu ni master)
• Eneo la kiwanja: SQM 700
• Umbali: Takribani kilomita 1 kutoka barabara kuu
• Mazingira mazuri na salama kwa makazi ya familia
Bei: Tsh Milioni 470 (mazungumzo yapo)
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji. Wahi sasa!
📞0769-554-221
#trendingreelsvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingsongs















