Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Kisarawe II, Dar Es Salaam (700 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
π‘π₯ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, KISARAWE II π₯π‘
π NYUMBA MPYA β IPO KWENYE HATUA ZA MWISHO!
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba mpya kabisa katika eneo zuri la Kigamboni β Kisarawe II. Nyumba imekamilika kwa takribani 70%, ikiwa kwenye hatua nzuri ya umaliziaji.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 4
β
Vyumba 2 Master
β
Sebule
β
Dining
β
Jiko
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 700
π Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
ποΈ Nyumba imekamilika kwa takribani 80%
π UMBALI:
π Mita chache kutoka Baba Alami
π Kilomita 10 kutoka Ferry
π Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
π° BEI: TZS MILIONI 150
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Nyumba mpya kabisa, eneo zuri na nafasi nzuri ya kumalizia kwa mtindo unaoupenda.
π 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateinvestment #realestateagent #tanzania















