Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam (800 sqm)
Maelezo
π‘π₯ NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI KISIWANI π₯π‘
π FURSA NZURI YA KUMILIKI NYUMBA KWA BEI NZURI!
Nyumba inauzwa Kigamboni β Kisiwani, ikiwa katika eneo zuri linalofaa kwa makazi ya familia au uwekezaji.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 4
β
Vyumba 2 Master
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko
π Ukubwa wa kiwanja: SQM 800
π Documents: Hati ya Serikali ya Mtaa
π UMBALI:
π Mita 400 kutoka Kisiwani
π Kilomita 2 kutoka Darajani
π Kilomita 4 kutoka Kigamboni Ferry
π° BEI: TZS MILIONI 110
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Nyumba hii ni fursa nzuri kwa mtu anayehitaji makazi katika eneo la Kigamboni au anayelenga uwekezaji wa muda mrefu.
π 0769554221
πService Charge 30,000
π‘ KIGAMBONI β MAHALI PA KUWEKEZA, MAHALI PA KUISHI!
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















