Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
1000 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KIGAMBONI KISIWANI π‘
Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo tulivu na lenye maendeleo? Hii ni fursa yako ya kumiliki nyumba yenye nafasi kubwa na huduma muhimu zote!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala
β
Master Bedroom 2
β
Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,000
β
Hati ya Wizara (Full Title Deed)
π Vifaa na Huduma:
π Swimming Pool
π§ Kisima cha maji
β‘ Electric Fence
π£οΈ Full Paving
π Mahali Ilipo:
π Kilomita 1 kutoka Barabara ya Lami
π Kilomita 6 kutoka Ferry
π Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
π° Bei: TZS Milioni 270 (Mazungumzo yapo)
π Wasiliana nasi: 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















