Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA NZURI
INAUZWA KIGAMBONI KISIWANI - DAR ES SALAAM
Nyumba nzuri sana inauzwa eneo la Kigamboni Kisiwani, mazingira tulivu na salama kwa makazi ya familia pamoja na uwekezaji.
* SIFA ZA NYUMBA:
ı Vyumba 4 vya kulala
) Sebule kubwa
O! Dining
• Jiko zuri
Eneo la sqm 850
Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
4 Umeme upo
Maji yapo
LOCATION:
Kilomita 2 tu mpaka Darajani Kilomita 4 tu mpaka Ferry
FAIDA ZA ENEO:
Inafaa kuishi na familia
Inafaa kwa uwekezaji wa kupanga
Eneo kubwa unaweza kujenga:
• Servant quarter
• Vyumba vya kupangisha
• Apartment au biashara nyingine
Pia kuna sehemu ya mabanda kwa ajili ya kufugia kuku.
BEI: TSH Milioni 115 tu
Mazungumzo kidogo yapo
Service Charge: 30,000/= kwa site visit
:mawasiliano
✅0628505896
✅0763954837















