Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Mjimwema - Kibugumo, Dar Es Salaam (700 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
π‘π₯ BOMA LA KISASA LINAUZWAβ KIGAMBONI MJIMWEMA, KIBUGUMO π₯π‘
π FURSA NZURI YA KUJENGA NYUMBA YAKO YA KISASA!
Boma hili la kisasa linauzwa katika eneo zuri la Kigamboni Mjimwema β Kibugumu, likiwa tayari kwa kuendelea na ujenzi.
β¨ SIFA ZA BOMA:
ποΈ Vyumba 4, vyote Master
ποΈ Sebule
π½οΈ Dining
π³ Jiko
β‘ Limefikishiwa umeme
ποΈ Makaravati ya chuma tayari yameshachimbwa
π Eneo takriban SQM 700
π° BEI: TSH MILIONI 75
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π LOCATION: KIGAMBONI MJIMWEMA β KIBUGUMO
π Km 1 kutoka Baba Alami / Kibugumu Stendi
π Km 7 kutoka Feri
π Km 5 kutoka Kigamboni Darajani
π₯ Usikose fursa hii! Boma lina msingi mzuri wa kuendelea na nyumba yako ya ndoto.
π
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















