Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Mongozo, Dar Es Salaam (600 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
๐ข๐ฅ GHOROFA LINauzwa โ KIGAMBONI MONGOZO ๐ฅ๐ข
๐ FURSA NZURI KWA MAKAZI NA UWEKEZAJI!
Ghorofa hii nzuri inauzwa Kigamboni โ Mongozo, ikiwa na mpangilio mzuri na nafasi ya kutosha kwa familia au uwekezaji.
โจ SIFA ZA GHOROFA:
โ
Vyumba 4
โ
Vyumba 3 ni Master
โ
Sebule kubwa
โ
Dining
โ
Jiko
โ
Chini: Vyumba 2
โ
Juu: Vyumba 2
๐ Ukubwa wa eneo: SQM 600
๐ Nyaraka: Hati ya Wizara
๐ Limepimwa
๐ UMBALI:
๐ Kilomita 1 kutoka Baba Alami
๐ Kilomita 10 kutoka Ferry
๐ Kilomita 10 kutoka Sheli ya Mboni / Kigamboni Darajani
๐ฐ BEI: TZS MILIONI 500
๐ค Mazungumzo kidogo yapo.
๐ฅ GHOROFA HII INAFAA SANA KWA:
๐ Makazi ya familia
๐จ Hotel/Guest House
๐ก Airbnb
๐ House Party
๐ Uwekezaji wa muda mrefu
Pia ina nafasi ya kutosha kwa ajili ya kujenga Servant Quarter.
๐ Wasiliana nasi:
๐Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio
Viwanja vya kununua kigamboni
Viwanja yakuuza kigamboni
Nyumba yakununua kigamboni
Nyumba yakuuza kigamboni















