Tafuta
-
-

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kimara Mwisho, Dar Es Salaam (3000 sqm)

video thumbnail
Sh. 400,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

3000 SQM

Barabara ya Karibu

5minutes

Huduma na Sifa

Hati
Air Conditioning
(Fence) Ukuta
Umeme
Karibu na Barabara ya Lami
Feni

Maelezo

🏡 NYUMBA KUBWA NA YA KIFAHARI INAUZWA – KIMARA MWISHO, DSM ✨

Nyumba nzuri sana na kubwa inauzwa ikiwa na sifa za kipekee kwa makazi ya familia au uwekezaji:

✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 4 (3 ni Master Bedrooms zenye makabati ya nguo)
✅ Sebule kubwa na ya kisasa
✅ Dining
✅ Jiko la kisasa lenye makabati mazuri
✅ Full AC & Water Heater
✅ CCTV Cameras (Usalama wa uhakika)
✅ Boy Quarter kubwa (Kwa mfanyakazi au wageni)

📄 Documents: Hati miliki
📏 Ukubwa wa eneo: SQM 3,000
📍 Location: Kimara Mwisho – Dar es Salaam
🚶‍♂️ Dakika 5 kwa mguu kutoka barabara ya lami

💰 Bei: Milioni 400 (Maongezi yapo)

📲 Wasiliana nasi: 0787705274

#KombeRealEstate
#NyumbaInauzwa
#KimaraMwisho
#RealEstateTanzania