Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kimara Mwisho, Dar Es Salaam (3000 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
3000 SQM
Barabara ya Karibu
5minutes
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA KUBWA NA YA KIFAHARI INAUZWA – KIMARA MWISHO, DSM ✨
Nyumba nzuri sana na kubwa inauzwa ikiwa na sifa za kipekee kwa makazi ya familia au uwekezaji:
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 4 (3 ni Master Bedrooms zenye makabati ya nguo)
✅ Sebule kubwa na ya kisasa
✅ Dining
✅ Jiko la kisasa lenye makabati mazuri
✅ Full AC & Water Heater
✅ CCTV Cameras (Usalama wa uhakika)
✅ Boy Quarter kubwa (Kwa mfanyakazi au wageni)
📄 Documents: Hati miliki
📏 Ukubwa wa eneo: SQM 3,000
📍 Location: Kimara Mwisho – Dar es Salaam
🚶♂️ Dakika 5 kwa mguu kutoka barabara ya lami
💰 Bei: Milioni 400 (Maongezi yapo)
📲 Wasiliana nasi: 0787705274
#KombeRealEstate
#NyumbaInauzwa
#KimaraMwisho
#RealEstateTanzania
