Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kimara Mwisho, Dar Es Salaam (3000 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
3000 SQM
Barabara ya Karibu
5minutes
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA KUBWA NA YA KIFAHARI INAUZWA – KIMARA MWISHO, DSM ✨<br/><br/>Nyumba nzuri sana na kubwa inauzwa ikiwa na sifa za kipekee kwa makazi ya familia au uwekezaji:<br/><br/>✨ Sifa za Nyumba:<br/>✅ Vyumba 4 (3 ni Master Bedrooms zenye makabati ya nguo)<br/>✅ Sebule kubwa na ya kisasa<br/>✅ Dining<br/>✅ Jiko la kisasa lenye makabati mazuri<br/>✅ Full AC & Water Heater<br/>✅ CCTV Cameras (Usalama wa uhakika)<br/>✅ Boy Quarter kubwa (Kwa mfanyakazi au wageni)<br/><br/>📄 Documents: Hati miliki<br/>📏 Ukubwa wa eneo: SQM 3,000<br/>📍 Location: Kimara Mwisho – Dar es Salaam<br/>🚶♂️ Dakika 5 kwa mguu kutoka barabara ya lami<br/><br/>💰 Bei: Milioni 400 (Maongezi yapo)<br/><br/>📲 Wasiliana nasi: 0787705274<br/><br/>#KombeRealEstate<br/>#NyumbaInauzwa<br/>#KimaraMwisho<br/>#RealEstateTanzania















