Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kimara Temboni, Dar Es Salaam (1300 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
1300 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
🏠 NYUMBA KUBWA INAUZWA – KIMARA TEMBONI,
Nyumba nzuri na kubwa inauzwa ipo Kimara Temboni, umbali wa kilomita 1 tu kutoka barabara kuu. Njia ni nzuri na inafikika kwa urahisi vipindi vyote vya mwaka.
✅ Ina vyumba 4 vya kulala
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko
✅ Huduma zote muhimu zipo – maji na umeme
✅ Eneo la ukubwa wa sqm 1,300
✅ Mazingira mazuri na majirani wazuri
✅ Ipo mjini kabisa, sehemu nzuri kwa makazi ya familia
💰 Bei: TZS 200,000,000
📌 Maongezi yapo kwa mteja mwenye nia ya kweli.
Karibu kuona nyumba.tukae mezani
🚗 Site visit: TZS 25000
Kwa maelezo zaidi kwenda kuona nyumba, wasiliana nasi. 0711258592 au 0764575774















