Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinondoni Biafra, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
2
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
250m
Huduma na Sifa
Maelezo
YAVYUMBA 4,INAUZA BANK,TZS.75 MILIONI, KINONDONI BIAFRA.
Ipo mita 250 tu kutoka Barabara ya LAMI.
Kiwanja SQM.400.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.
Vyumba 4 ( Masta 1)
Sebule, Jiko na Choo cha Familia.
Hapa unaweza kuishi na Familia yako.
Au kufanya Biashara ya kupangisha utaamua wewe.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________jj















