Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam (2000 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA MPYA INAUZWA β KINYEREZI MWISHO β¨
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye eneo kubwa na mazingira mazuri? Hii ndiyo fursa yako!
π Location: Kinyerezi Mwisho
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 2,000
π Hati Miliki ya Wizara
Main House:
ποΈ Vyumba 4 (kimoja ni Master Bedroom)
ποΈ Sebule kubwa
π½οΈ Dining
π³ Jiko la kisasa lenye makabati ya juu na chini
π¦ Store
π» Choo cha wageni (Public Toilet)
Nje ya Nyumba:
ποΈ Chumba 1 cha Master
π³ Jiko la nje
π» Choo cha nje
β
Nyumba imejengwa kwenye eneo kubwa bila kubana, ikiwa na nafasi ya kutosha kwa matumizi mbalimbali au maendeleo ya baadaye.
π§ Huduma za Maji:
βοΈ Maji ya DAWASA yanapatikana saa 24
βοΈ Kisima chenye motor
βοΈ Hakuna changamoto ya maji wakati wowote.
π³ Mazingira ni mazuri, neighborhood tulivu, na panafikika kwa urahisi mwaka mzima.
π° Bei: TSh 450,000,000 (Ina nafasi ya mazungumzo kwa mteja mwenye nia ya kweli.)
π Viewing Fee: TSh 30,000/=
NIPIGIE CM CHAP 0744112394















