Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kivule-Njiapanda, Dar Es Salaam (470 sqm)

video thumbnail
Sh. 75,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

470 SQM

Huduma na Sifa

Uzio
Inajitegemea
Mkataaba wa mauziano

Maelezo

NYUMBA KUBWA ,VYUMBA 4,TSHS.75 MILIONI, KIVULE-NJIAPANDA.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 470.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.

Vyumba vyote vinne(4)
Kila kimoja na Choo chake ndani.

Ipo jirani na Kituo cha Daladala na,
Ni Gari moja tu kufika Mjini.

Ipo ndani ya Fensi na ni YAKUHAMIA.

__________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

__________________mskv