Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Zakhem, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – MBAGALA ZAKHEM, KIBONDEMAJI B 🏡
💰 Bei: TSh Milioni 120 (Mazungumzo yapo)
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye nafasi kubwa na mazingira mazuri? Hii ndiyo fursa yako!
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 4 vya kulala
✅ Vyumba 2 Master Bedroom
✅ Sitting Room kubwa
✅ Dining Room
✅ Jiko la kisasa
✅ Umeme na maji ya uhakika
✅ Fensi ya waya kuzunguka eneo lote
✅ Eneo kubwa la parking – linaweza kuingiza magari madogo 3
📍 Mahali: Mbagala Zakhem, Mtaa wa Kibondemaji B
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba nzuri kwa bei nafuu.
📞 Kwa maelezo zaidi na kuangalia nyumba, piga simu:
0683 665504















