Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Zakhem, Kibondemaji B, Dar Es Salaam

Sh. 120,000,000

Huduma na Sifa

Umeme
Maji
Sebule
Dining
Jiko
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

šŸ” NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – MBAGALA ZAKHEM, KIBONDEMAJI B šŸ”

šŸ’° Bei: TSh Milioni 120 (Maongezi yapo. Njoo site ukutane na mwenye nyumba.)

Unatafuta nyumba ya kisasa yenye eneo kubwa na mazingira mazuri? Hii ndiyo fursa yako!

✨ Sifa za Nyumba:
āœ… Vyumba 4 vya kulala
āœ… Master Bedroom 2
āœ… Sitting Room kubwa
āœ… Dining Room
āœ… Jiko la kisasa
āœ… Umeme wa LUKU upo
āœ… Maji ya kutosha muda wote

šŸ“ Mahali: Mbagala Zakhem, Mtaa wa Kibondemaji B.
🚶 Ni dakika 8 tu kwa miguu kutoka barabara kuu ya lami.

šŸ  Nyumba ipo kwenye eneo kubwa, salama na linalofaa kwa makazi ya familia.

šŸ“ž Wahi sasa kabla haijauzwa!
Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuiona, piga simu: 0683 665504.

Matangazo mengine Mbagala, Dar Es Salaam

Nyumba inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 100,000,000

For Salehouse