Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Zakhem, Kibondemaji B, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 120,000,000

Huduma na Sifa

Umeme
Maji
Sebule
Dining
Jiko
Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA โ€“ MBAGALA ZAKHEM, KIBONDEMAJI B ๐Ÿก

๐Ÿ’ฐ Bei: TSh Milioni 120 (Maongezi yapo. Njoo site ukutane na mwenye nyumba.)

Unatafuta nyumba ya kisasa yenye eneo kubwa na mazingira mazuri? Hii ndiyo fursa yako!

โœจ Sifa za Nyumba:
โœ… Vyumba 4 vya kulala
โœ… Master Bedroom 2
โœ… Sitting Room kubwa
โœ… Dining Room
โœ… Jiko la kisasa
โœ… Umeme wa LUKU upo
โœ… Maji ya kutosha muda wote

๐Ÿ“ Mahali: Mbagala Zakhem, Mtaa wa Kibondemaji B.
๐Ÿšถ Ni dakika 8 tu kwa miguu kutoka barabara kuu ya lami.

๐Ÿ  Nyumba ipo kwenye eneo kubwa, salama na linalofaa kwa makazi ya familia.

๐Ÿ“ž Wahi sasa kabla haijauzwa!
Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuiona, piga simu: 0683 665504.

Matangazo mengine Mbagala, Dar Es Salaam