Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi Kwa Msuguri, Dar Es Salaam (2000 sqm)


Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
2000 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Maelezo
Nyumba nzuri sana inauzwa bei milion 230. Hii nyumba ina vyumba 4 vya kulala vyumba vyote master bedrooms. Sebule kubwa. Dining room. Jiko. Store. Public toilet. Pia hii eneo limepimwa tayari wizara ya aridhi. Ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 2000. Kutoka kituoni km 1. Location mbezi kwa msuguri dar es salaam
Calla/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 70000
Napatikana tabata kinyerezi mbuyuni opposite na ngekili hotel dar es salaam















