Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi Magufuli, Dar Es Salaam (500 sqm)

Mbezi, Ubungo, Dar Es Salaam
1 day ago
Sh. 160,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
300m — Goba Road
Huduma na Sifa
Umeme
Dining
Maelezo
160 MILION MAONGEZI YAPO,
nyumba inauzwa mbezi magufuli, goba road
MITA 300 KUTOKA LAMI,
vyumba 4 vya kualala, 2 masters
Sebule kubwa
Jiko kubwa
Public toilet
Dining room
Ukubwa wa eneo sqm 500,
MWENYEW ANAUMWA ANATAKA KWENDA INDIA KUTIBIWA, NJOO NA OFA YAKO,
Nyumba ni umeme,
0745559598 call/WhatsApp
