Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi Malamba Mawili, Dar Es Salaam (342 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
2
Ukubwa
342 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
INAUZWA NA BANK,TSHS.85 MILIONI,MBEZI MALAMBA MAWILI. Kiwanja kina ukubwa wa SQM.342. Umiliki ni HATI ( Title Deed) ya Wizara. Nyumba nzuri yenye vyumbac4 ( Masta 1) Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. _______________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 _______________mpg















