Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbezi-Mwisho, Dar Es Salaam (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YENYE HATI, VYUMBA 4,TSHS.195 MILIONI,MBEZI-MWISHO.
Hapa ni jirani na MAGUFULI TERMINAL.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba 4 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Parking ipo.
Nyumba Ina AC.
Eneo tulivu na Salama.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________ry















