Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbweni Ubungo, Dar Es Salaam (750 sqm)

video thumbnail
Sh. 285,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Ukubwa

750 SQM

Huduma na Sifa

Umeme
Tiles
Feni
Uzio
Modern design
Large living room

Maelezo

🏡🔥 NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – MBWENI UBUNGO 🔥🏡

Fursa ya kipekee kwa mteja anayetafuta nyumba kubwa ya kisasa yenye nafasi ya kumalizia kwa ladha yake mwenyewe ✨

📍 Location: Mbweni Ubungo – panafikika bila shida kabisa

🏠 Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 4 vya kulala
✅ Ramani ya kisasa (modern design)
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko
✅ Ipo ndani ya fence

📐 Ukubwa wa eneo: SQM 750

💡 Nyumba iko hatua nzuri sana ya umaliziaji – imebaki vitu vidogo tu kumalizia na kuanza kuishi au kupangisha 💰

💰 Bei: Milioni 285
💵 Service charge: Tsh 50,000/=

🔥 Hii siyo nafasi ya kusubiri – nyumba kama hizi huuzwa haraka!
✨ Karibu tajiri, njoo tumalize dili mapema.

📞 +255688412890 Piga simu sasa kwa maelezo zaidi na viewing.