Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mikocheni B, Dar Es Salaam (850 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
#
NYUMBA YA KIFAHARI
INAUZWA - INAFAA KWA FAMILIA YAKO!
Unatafuta nyumba kubwa, ya kisasa na yenye nafasi ya kutosha kwa familia yako? Hii ni fursa ya kipekee!
Kiwanja: SQM 850SQM
Nyumba Kuu: Vyumba 4- 3Master Bedroom
Sebule kubwa
Dining kubwa
Jiko kubwa na lenye nafasi ya kutosha
Na bado kuna zaidi!
Swimming Pool
Eneo kubwa na mazingira yanayofaa kwa familia na mapumziko.
BEI: TSH 550M
Nyumba hii ni zaidi ya makazi familia yako. ni lifestyle ya kifahari kwa
Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, wasiliana nasi.
SITE VISIT 50,000















