Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mikwambe, Dar Es Salaam (300 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
300 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA YA KUANZIA MAISHA INAUZWA β KIGAMBONI, MIKWAMBE π‘
Unatafuta nyumba yenye mapato ya uhakika katika eneo lenye biashara? Hii ni fursa nzuri kwako!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kupangisha (kimoja ni master)
β
Eneo la takribani SQM 300
β
Shimo la choo tayari
β
Tayari kuna wapangaji, hivyo utaanza kupata mapato mara moja
π Mahali:
β’ Mita 500 kutoka barabara kuu
β’ Kilomita 10 kutoka Ferry
β’ Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere
π Nyaraka: Serikali ya Mtaa
β‘ Huduma Zinazopatikana:
βοΈ Umeme
βοΈ Maji
βοΈ Eneo lenye shughuli nyingi za biashara
π° Bei: TSh Milioni 33 (Mazungumzo yapo)
π΅ Service Charge: TSh 30,000
π Wasiliana Nasi:
#trendingpage #istagram #realestatemarket #realestateagent #trendingaudio















