Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mikwambe, Dar Es Salaam (300 sqm)

video thumbnail
Sh. 33,000,000

Maelezo

šŸ” NYUMBA YA KUANZIA MAISHA INAUZWA – KIGAMBONI, MIKWAMBE šŸ”

Unatafuta nyumba yenye mapato ya uhakika katika eneo lenye biashara? Hii ni fursa nzuri kwako!

✨ Sifa za Nyumba:
āœ… Vyumba 4 vya kupangisha (kimoja ni master)
āœ… Eneo la takribani SQM 300
āœ… Shimo la choo tayari
āœ… Tayari kuna wapangaji, hivyo utaanza kupata mapato mara moja

šŸ“ Mahali:
• Mita 500 kutoka barabara kuu
• Kilomita 10 kutoka Ferry
• Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere

šŸ“„ Nyaraka: Serikali ya Mtaa

⚔ Huduma Zinazopatikana:
āœ”ļø Umeme
āœ”ļø Maji
āœ”ļø Eneo lenye shughuli nyingi za biashara

šŸ’° Bei: TSh Milioni 33 (Mazungumzo yapo)

šŸ’µ Service Charge: TSh 30,000

šŸ“ž Wasiliana Nasi: 0769 554 221

#trendingpage #istagram #realestatemarket #realestateagent #trendingaudio

Matangazo mengine Mikwambe, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mikwambe, Dar Es Salaam (500 sqm)

Sh. 145,000,000

For Sale3 beds0 baths500 sqmhouse