Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mikwambe, Fuoni City, Dar Es Salaam (450 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
450 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β MIKWAMBE, FUONI CITY π
π Ipo Mikwambe, km 1 tu kutoka lami, eneo tulivu na lenye kuvutia kwa makazi bora ya kifamilia.
π° BEI: TSH 85,000,000/=
π Nyumba ina:
β
Vyumba 4, kati ya hivyo 3 ni Master Bedroom
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko
β
Store
β
Public Toilet
π₯ Nyumba imefikia 80% β njoo uichukue, malizia 20% iliyobaki na uhamie!
β‘ Umeme tayari
π§ Kisima cha maji tayari
π‘ Mnara tayari
π§± Fence imara
πͺ Geti la kisasa
π Kiwanja SQM 450
πΏ Eneo ni tulivu, salama na lenye mandhari nzuri, linafaa sana kwa familia inayotafuta makazi bora.
π WASILIANA NASI:
π₯ FURSA HII USIIACHE IPITE!















