Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mjimwema, Dar Es Salaam (800 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA KALI SANA INAUZWA โ KIGAMBONI MJIMWEMA
๐ Eneo zuri na tulivu sana kwa makazi ya kifahari.
โ
Vyumba 4 vyote Master
โ
Sebule kubwa na dining
โ
Jiko la kisasa
โ
Eneo la nyumba SQM 800
โ
Hati ya Wizara
โ
Mazingira mazuri na salama
๐ฐ Bei: Milioni 650 Tu
๐ Kwa mawasiliano na kuangalia nyumba piga simu sasa.















